Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC afunguka zahanati kutumia choo cha nyasi 

Tuesday , 22nd Jan , 2019

Mkuu Wa Wilaya ya Masasi Mh. Ramadhani Mzee, ametoa maelezo juu ya picha inayozunguka mitandaoni ikionesha choo cha nyasi kinachotumiwa na wajawazito katika zahanati ya Namalembo, wilayani humo.

Picha ya choo kilichozua mjadala

Akizungumza na www.eatv.TV, Mh Mzee amesema kwamba picha hiyo ni ya zamani sana na kwamba serikali ilishafanya jitihada za kutengeneza choo bora na cha kisasa katika zahanati hiyo.

"Hiyo picha ni ya zamani Kama miaka miwili iliyopita, sasa hivi kimeshajengwa choo cha kisasa na muda si mrefu kitaanza tumika. Sijui hao wanaosambaza hiyo picha sasa wanalenga nini, ila ni picha ya miaka miwili nyuma", amesema DC Mzee.

Picha hiyo ambayo iliyopakiwa na baadhi ya watu mitandaoni, imeibua mijadala hasa kwa baadhi ya wabunge wa upinzani, akiwemo Mbunge Wa Tarime, John Heche ambaye alisambaza ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter.

Picha hiyo ilisambazwa kwa mara ya kwanza na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Kumbusho Dawson katika ukurasa wake wa Twitter na kuzua mjadala mkubwa juu ya ubora wa huduma za afya hasa maeneo ya vijijini.
 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala