Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kabudi akanusha taarifa ya Azory Gwanda kufariki

Thursday , 11th Jul , 2019

Waziri wa Mambo ya Nje Palamagamba Kabudi, amesema hajathibitisha kuwa aliyekuwa mwandishi wa habari za uchunguzi wa gazeti la Mwananchi Azory Gwanda, kuwa amefariki Dunia na kueleza mpaka sasa vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuanya uchunguzi.

Waziri Kabudi ametoa kauli hiyo akiwa Uingereza kwenye mkutano wa nchi za Jumuiya ya Madola ambao unalenga kujadili ya hali ya utawala bora, katia nchi hizo.

Akizungumza nchini Uingereza Kabudi amesema kuwa "mpaka sasa hakuna uthibitisho kuwa Azory yuko hai au amefariki, vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuchunguza tukio hilo na matukio mengine, yaliyotokea katika machafuko ya Kibiti."

Aidha amesema kuwa "kuhusu kile nilichokisema, katika mahojiano yangu BBC , nilieleza kuwa tukio lililotokea Kibiti lilikuwa la kuhuzunisha, na wapo Watanzania waliouawa na wengine kupotea, sikuthibitisha kuwa Azory Gwanda amefariki."

Mapema Julai 11, 2019, wakati akifanya mahojiano maalum kuhusiana ahali ya usalama Tanzania kwenye kituo cha habari cha BBC Waziri Kabudi alisema kuwa "tatizo la Rufiji ni moja ya matukio yaliyoumiza na kusikitisha ambayo TZ tumeyapitia, pale Rufiji sio Azory Gwanda pekee ambaye amepotea na kufariki,nikuhakikishie tunachukua kila hatua, ili watu wetu wawe salama awe Mwanahabari,Polisi au raia wa kawaida."

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross