Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kazi ya Urais sio ya kustarehe" - JPM

Sunday , 7th Apr , 2019

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli ameendelea na ziara yake Mkoa wa Ruvuma ambapo amezungumza na wananchi na kuwaahidi kuwapatia umeme.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Akizungumza na wakazi wa Ruvuma Rais Magufuli amesema awali wananchi walikuwa wanatumia jenereta ili kupata umeme lakini kupitia mradi wa umeme wa gridi ya taifa na ujenzi Strigler Gorge utapunguza tatizo la umeme nchini.

"Tulikuwa tunatumia umeme wa jenereta ambao ulikuwa hautoshi, kwa hiyo tumeweka Megawats zaidi ya 48 ili kuwe na umeme wa kutosha sasa tunatumia Gridi ya Taifa kilichobaki ni kusambaza kwenye vijiji vyote, Dkt Kalemani wewe ni Waziri nakutaka ukafanyie kazi kwenye REA awamu ya tatu vijiji vilivyobaki vipate umeme." amesema Rais Magufuli

Awali katika tukio hilo Rais Magufuli alilazimika kuomba ridhaa ya kuvaa kofia kufuatia kuchomwa na jua kali pindi alipokuwa amesimama juu ya gari.

"Mnaniruhusu jamani nivae kofia, unajua sisi wenye vipara unatandikwa jua mpaka unajisikia mwenyewe vipi vijana mnaniruhusu?" aliuliza Rais Magufuli

"Mimi siku zote nitaendelea kuwa mtumishi wetu, suala la kupewa kazi ya urais sio kwenda kustarehe"aliongeza Rais Magufuli

Rais Dkt John Pombe Magufuli Aprili 5, 2019, alianza ziara ya kikazi ya siku 6 Mkoa wa Ruvuma akitokea mkoani Mtwara ambapo alifanya ziara ya siku 3.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ