Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kila mtanzania kupimwa matumizi ya dawa za kulevya

Thursday , 8th Dec , 2016

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imesema itaanza kuwapima wananchi kupitia makundi mbalimbali wakiwemo wanafunzi kubaini endapo wanatumia dawa za kulevya ili hatua stahiki zichukuliwe.

Prof Samuel Manyele - Mkemia Mkuu wa Serikali akiwa na ya Studio za EA Radio

Ofisi hiyo itakuwa ikiangalia sumu ambazo hupatikana kutokana na matumizi ya dawa ya kulevya, zoezi ambalo litafanyika kwenye mashule, madereva na sehemu zenye mikusanyiko ya watu wengi lengo likiwa ni kuwachukulia hatua za kisheria wahusika.

Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samweli Manyele wakati akizungumza na EATV na East Africa Radio kuhusu jitihada zinazochukuliwa na serikali katika kudhibiti sumu ambazo zinauzwa mitaani bila kuwa na maelezo elekezi ya kuzitumia na kusababisha madhara kwenye jamii inazozitumia.

Amesema kuwa zoezi hilo la upimaji sumu zinazopatikana kutokana na matumizi ya dawa za kulevya linafanyika baada ya serikali kufanikisha kuanzishwa kwa kitengo maalumu cha kuratibu matokeo ya sumu nchini ambacho kipo chini ya mkemia mkuu wa serikali.

 

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi