Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba awaonya waliobadilisha ofisi za CUF

Tuesday , 19th Mar , 2019

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba amewaomba wanachama wa chake upande wa Zanzibar kuendelea kusalia kwenye chama hicho licha ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif kutangaza kuhamia ACT - Wazalendo.

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF, Prof Ibrahim Lipumba

Prof Lipumba ametoa kauli hiyo Jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya hali ya mgogoro wa chama hicho ambao Mahakama ilimpatia haki ya kuendelea kuwa Mwenyekiti wake.

Lipumba amesema, "ndugu wa Zanzibar ninachowaambia CUF mliijenga kwa muda mrefu, ndiyo maana CUF, ilikuwa na wimbo wa taifa wa chama, sasa Maalim Seif ACT ataimba nini".

"Niwaambie tu ndugu zangu wa Zanzibar kuchoma bendera ya chama chochote ni kosa la jinai nawaomba waache.", ameongeza Lipumba.

Pia Lipumba amesema, "ni kosa la jinai ofisi ya CUF kuitambulisha kuwa ofisi ya ACT - Wazalendo, akili za kuambiwa changanya na zako Maalim Seif anaweza kukwambia ubadilishe halafu mwisho akakuacha peke yako" amesema Lipumba

Mgogoro wa CUF umedumu kwa zaidi ya miaka 3, lakini jana Machi 2019, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam ikatoa uamuzi uliompa ushindi Profesa Ibrahim Lipumba.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala