Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maagizo waliyopewa askari 8 wa kesi ya madini

Thursday , 18th Jul , 2019

Mkurugenzi wa mashtaka nchini Biswalo Mganga, amefuta kesi 75 zinazowakabili mahabusu na wafungwa mbalimbali katika gereza kuu la Butimba mkoani Mwanza na kuwataka wahusika kutorudia makosa.

Miongoni mwa askari 8 walioachiwa huru pamoja na mahabusu wengine.

Miongoni mwa kesi zilizofutwa ikiwemo kesi namba moja ya uhujumu uchumi ya mwaka 2019, iliyokuwa ikiwakabili askari polisi nane waliohusika na utoroshaji wa madini  kilo 319 yenye thamani ya shilingi bilioni 27.

Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli, kutembelea gereza kuu la Butimba na kuzungumza na wafungwa pamoja na Mahabusu.

Wakizungumza na waandishi wa habari Waziri wa katiba na sheria Balozi Agustino  Mahiga pamoja na mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP Biswalo Mganga mara baada ya kufanya ziara katika gereza hilo na kuzungumza na wafungwa na Mahabusu kwa zaidi ya saa 7, wamebaini baadhi ya waliomo katika gereza hilo wamebambikiwa kesi.

''Wapo waliobambikiziwa kesi lakini sio mahabusu wote waliopo gerezani hapo wamebambikiziwa wengine ni kweli wahusika wa kesi, niwaombe tu waendapo uraiani hali ikaendelee kuwa shwari kama ilivyokuwa wakati wakiwa gerezani'', amesema Biswalo.

Katika ziara iliyofanywa na Waziri wa katiba na sheria na Balozi Agustino  Mahiga pamoja na mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP Biswalo Mganga wametembelea magereza mbalimbali ya mikoa ya kanda ziwa na kufuta jumla ya kesi 325.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala