Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Magufuli kuunguruma Arusha mjini kesho

Monday , 5th Oct , 2015

Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli Kesho ataunguruma katika mkoa wa Arusha, kwenye viwanja vya mpira Sheikh Amir Abeid, akitokea wilayani karatu, ambako pia leo atafanya mkutano wa hadhara wa kampeni.

Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli

Akizungumzia ziara hiyo katibu wa CCM, mkoa wa Arusha Alphonce Kinamhala, amesema Dk. Mgufuli alipokelewa katika Kijiji cha Kansay wilayani karatu jana, akitokea wilayani Mbulu mkoa wa Manyara, alikwenda moja kwa moja, kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Karatu.

Kinamhala, amesema kesho asubuhi Dk. Magufuli ataelekea wilayani Monduli ambapo atafanya mkutano wa hadhara wa kampeni eneo la Mto wa Mbu na mara baada ya mkutano huo atafanya mkutano mwingine mkubwa wa hadhara, kwenye ngome ya Lowassa Mjini Monduli, kisha kuelekea wilayani Longido kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.

Amesema mara baada ya mkutano huo ataelekea jijini Arusha, kwa ajili ya mkutano mwingine wa hadhara wa kampeni utakaofanyika katika viwanja wa Sheikh Amir Abeid majira ya saa 8:00 mchana na mara baada ya mkutano huo ataelekea wilayani Arumeru ambapo atafanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya Ngarasero eneo la Usa River.

Baada ya hapo Dk. Magufuli ataondoka kuelekea Sanya Juu, mkoani Kilimanjaro kwenye mkutano wa hadahara.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi