Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahindi, Samaki wabichi na Mtama, vyatajwa

Monday , 8th Jul , 2019

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei wa Taifa Kwa mwaka ulioishia mwezi juni, umeongezeka hadi asilimia 3.7 kutoka asilimia 3.5 kwa mwaka ulioishia mwezi Mei, 2019.

Taarifa hiyo imetolewa leo Julai 8, na Mkurugenzi wa Takwimu za Uchumi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Daniel Masolwa, amesema ongezeko hilo linamaanisha kuwa, kasi ya mabadiliko ya bei za bidha na huduma kwa mwaka ulioishia juni imeongezeka  ikilinganishwa na Mei. 

''Ongezeko la mfumuko wa bei Kwa mwaka ulioisha mwezi Juni, kumechangiwa na kuongezeka kwa bei za bidhaa za vyakula, na bidhaa zisizo za vyakula kwa kipindi cha mwaka ulioisha mwezi Juni, 2019 ikilinganishwa na Juni 2018.

Baadhi ya bidhaa za vyakula zilizochangia kuongezeka kwa mfumuko huo, ni unga wa mahindi asilimia 3.6, ngano asilimia 4.4, mtama asilimia 4.9, samaki wabichi asilimia 27.3," 

Ambapo kwa upande wa bidhaa zisizo za vyakula zilizochangia ongezeko hilo, ni pamoja na dizeli kwa asilimia 11.4, petroli asilimia 4.9, nyumba za kulala wageni asilimia 5.8 na vitabu vya shule vikiwa ni asilimia 2.4.

Aidha Masolwa amefafanua hali ya mfumuko wa bei Kwa Nchi za Afrika Mashariki, ambapo Uganda mfumuko wa bei ulioishia Juni mwaka huu, ulikua asilimia 3.4 kutoka asilimia 3.3, huku Kenya ongezeko likifikia asilimia 5.70 kutoka asilimia 5.49.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala