Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makamu wa Rais ashangaa wanaohoji ulinzi wa Rais

Saturday , 13th Apr , 2019

Makamu wa Rais, mama Samia Suluhu Hassan amewashangaa wale wanaohoji juu ya usalama wa Rais badala ya kuhoji maendeleo yanayoonekana.

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan

Ameyasema hayo katika ufunguzi wa mji wa kiserikali katika eneo la Mtumba, nje kidogo ya  Jijini Dodoma pamoja na ofisi za Rais.

Mama Samia amesema, "asubuhi ya leo nilikuwa nasikiliza uchambuzi wa magazeti, kuna mtu anahoji ulinzi wa Rais. Nikasema anahoji ulinzi wa Rais anataka kufanyaje, lakini kabla ya kuhoji ulinzi wa Rais tulidhani atahoji maendeleo yanayoendelea".

"Hii inaonesha kwamba jamaa zetu hawa, kwa vitendo na mambo unayoyaonesha yanawafanya wengine kufilisika, kufilisika kwa mawazo na kufilisika na nini wazungumze katika nchi yetu na ndiyo maana sasa wanelekea kuhoji vitu visivyohitaji kuhojiwa", ameongeza mama Samia.

Tukio hilo la uzinduzi wa mji wa serikali jijini Dodoma limefanywa na Rais John Magufuli, ikiwa ni kuashiria kuwa sasa ni rasmi azma ya serikali kuhamia Makao Makuu Dodoma imekamilika.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi