Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama aua watoto wake sita kwa upanga

Monday , 15th Apr , 2019

Mama mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Nana Maganga mkazi wa Kijiji cha Luzuko Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, anatuhumiwa kuwauwa watoto wake sita kwa kwa mapanga, huku naye akiuawa na wananchi wenye hasira.

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Emmanuel Nley, amesema mauaji ya watoto hao yalitokea jana Aprili 14, 2019, ambapo inadaiwa mama huyo alikuwa mgonjwa wa akili, na watoto watano kati ya sita waliouawa ni aliowazaa mwenyewe na mwingine mmoja ni wa kaka yake.

Kamanda Nley amesema baada ya kufanya mauaji hayo wananchi walisikia kelele na kulazimika kuizunguka nyumba hiyo na kufanikiwa kumdhibiti mama huyo kwa kumfunga kamba mikononi na baada ya muda alifariki dunia kwa kile kinachodaiwa ni kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira.

Aidha kupitia tukio hilo watu watano wanashikiliwa kwa kusababisha mauaji ya Mama huyo akiwemo Mganga mmoja wa Kienyeji.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari