Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama Makinda atoa somo

Friday , 23rd Mar , 2018

Aliyekuwa Spika wa Bunge Bi. Anna Makinda ameshauri madiwani wanawake kuhakikisha wanajenga hoja zitakazozifanya halmashauri zao kuwatambua wanawake walio nje ya mifumo ya kifedha ili kuwasaidia kupata mikopo inayotolewa kupitia fungu la uwezeshaji.

Mama Makinda ameto wito huo jijini Dar es Salaam leo na kufafanua kuwa asilimia kumi ya fedha zinazotengwa na kila halmashauri nchini zimelenga kuwainua kiuchumi wanawake hao ambapo hawapo kwenye vikundi kama VICOBA, SACCOS na aina nyingine za makundi ya kijasiriamali.

Akifafanua hoja hiyo, Spika huyo mstaafu ameshauri njia nyingine ambayo madiwani wanawake wanaweza kuitumia kuwa ni kupitia mabaraza ya madiwani ambako wanatakiwa kutoa ushauri wa kuongeza vyanzo vya mapato.

Amesema ili hiyo asilimia kumi inayotengwa kuinua wananchi kiuchumi iwe ya kutosha na kuwafikia wahitaji wengi zaidi wanahitajika kupaza sauti zao.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja