Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mambosasa awaonya walinda kura

Friday , 14th Sep , 2018

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya  Dar es salaam, Lazaro Mambosasa, amevitahadharisha vikundi vya vijana ambavyo vinatumika kisiasa kutaka kuvunja amani kwenye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Ukonga kwa kisingizio cha kulinda kura.

Kamanda Lazaro Mambosasa

Akiongea leo kwenye mkutano na wanahabari, Mambosasa amesema, jeshi lake limejipanga vyema kuhakikisha uchaguzi huo unaanza na kumalizika salama huku mshindi akitarajiwa kupatikana kwa ushindi wa kura na si vinginevyo.

''Kuna vitendo vimekuwa vikijitokeza kwenye chaguzi, ambapo vikundi vya vijana vinajiita walinda kura, kitu ambacho ni kinyume na sheria hivyo watakaofanya hivyo kwenye uchaguzi wa Ukonga wataishia kwenye mikono ya dola'', amesema.

Mambosasa amesema watahakikisha usalama wa zoezi zima kuanzia kusambazwa kwa vifaa vya kupigia kura katika vituo vyote hadi kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi huo unaofanyika Jumapili Septemba 16, 2018.

Katika uchaguzi huo wagombea wa vyama vya CHADEMA na CCM, wanachuana vikali ambapo CCM inawakilishwa na Mwita Waitara huku CHADEMA wakiwakilishwa na Asia Msangi.

Mbali na hilo Mambosasa ameibanisha jeshi hilo limefanikiwa kukamata watuhumiwa 8 akiwemo mwanamke mmoja, wanaodaiwa kuendesha vitendo vya uporaji wa Bajaj katika eneo la Mvuti Gongo la mboto jijini Dar es salaam.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma