Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mashimo aleta utata kifo cha Kibonde, RC aingilia

Monday , 11th Mar , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemshauri, Mchungaji wa Daudi Mashimo, kuwapatia unabii familia ya aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi, Ephraim Kibonde na siyo kutangaza habari zake kwa vyombo vya habari.

RC Paul Makonda

Makonda ametoa ushauri huo kwa Mch. Mashimo baada ya kusambaa kwa video zikimuonyesha akidai kwamba aliyekuwa mtangazaji wa Jahazi Kibonde hajafariki na kwamba huenda familia yake imezika gogo au mgomba.

Katika mahuburi hayo ya Mch. Mashimo amesema kwamba Kibonde hajafariki kama ambavyo inaaminika, na kwamba hajafariki kwa  mpango wa Mungu na yeye alipata maono hayo kabla ya kifo kutokea, "niiona na nikatangaza haya ni maono yangu ya kweli".

Makonda amesema kwamba hajawahi kuona kwenye biblia kwamba Manabii wa zamani walikwenda kwenye vyombo vya habari na badala yake walikwenda kwa wahusika.

"Ndugu yangu igependeza sana unabii huu ukawapatia wanafamilia na wala siyo kukimbilia kwa waandishi wa habari. Najaribu kupitia maandiko hapa bado sijaona Nabii alieenda kwa wanahabari badala ya kwenda kwa wahusika inawezekana labda Biblia yangu ni ya zamani", ameongeza Makonda.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi