Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aeleza kuahidiwa milioni 200 kuhama chama

Friday , 15th Feb , 2019

Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Hamidu Bobali amedai alishawahi kuwashawishi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi kuwa akijiunga na chama hicho atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 200.

Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Hamidu Bobali.

Kauli hiyo ameitoa mapema jana katika mkutano wa Jumuiya Vijana Chama Cha Wananchi CUF uliofanyika visiwani Unguja ambapo pia ilishuhudia Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hammad akishiriki.

Bobali ameeleza kuwa viongozi wa CCM walimwambia wangeweza kumpa nafasi nyingine kwenye uongozi wa Chama cha Mapinduzi, madai ambayo Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ameyakataa.

Amesema ujasiri ndio uliomfanya ashinde majaribu hayo, akibainisha kuwa mbali na mamilioni hayo aliyoahidiwa, pia aliahidiwa kuwa atateuliwa kuwa Naibu Waziri.

Aidha Mbunge huyo amesema kilichomfanya ashindwe kujiunga na CCM ni utu na uzalendo huku akiwashangaa wabunge wa upinzani waliohamia CCM kwa maelezo kuwa wamewasaliti wananchi waliowachagua.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi