Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfanyabiashara auawa kikatili dukani kwake Geita

Friday , 24th May , 2019

Mkazi wa Kijiji cha Katoro na mfanyabiashara wa duka la nguo katika Kijiji jirani cha Nyarugusu mkoani Geita, Deus Mwenda(36) ameuawa kikatili kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni akiwa ndani ya duka lake.

Duka la nguo

Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku moja baada ya watuhumiwa 17 wa makosa mbalimbali waliokuwa wamehifadhiwa kwenye ukumbi wa jengo jipya la Mahakama ya Mkoa wa Geita wakisubili mashauri yao kutajwa, kudaiwa kutoroka.

Aidha tukio hilo limetokea majira ya mchana na kuacha maswali mengi kwa baadhi ya wafanyabiashara wenzake, kutokana na duka la mfanyabiashara huyo kuwa maeneo yenye msongamano wa watu na pembezoni mwa soko la kijiji hicho, ambapo wafanyabiashara hao sasa wameamua kufunga maduka kwa kuhofia usalama.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Nyarugusu, Amosi Yunge, mbali na kuthibitisha kutokea kwa tukio hilo amesema tukio hilo limetokea saa chache baada ya mwanamke mwingine kubakwa na majambazi, huku mjane wa marehemu na ndugu wengine wakielezea jinsi walivyopokea taarifa za tukio hilo.

 

 
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala