Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mpina ataka ipandishwe bei ya ununuzi wanyama

Monday , 16th Apr , 2018

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina amewataka wawekezaji wa viwanda vya nyama ya punda nchini kupandisha bei ya kununua wanyama hao kutoka shilingi laki mbili ya sasa ili kudhibiti utoroshaji wa mifugo hiyo kwenda nje ya nchi.

Akizungumza mara baada ya ziara yake katika kiwanda cha nyama ya punda cha Hua Cheng nje kidogo ya mji wa Dodoma, Waziri Mpina amesema kuwa bei hiyo ya sasa haiendani na gharama halisi ya ufugaji wa punda ndio sababu wafugaji hutorosha mifugo hiyo na kukosesha taifa mapato.

"Inakadiriwa zaidi ya punda 10,000 hutoroshwa mipaka kwa siku kwenda nje ya nchi wanakonunuliwa kwa bei ya juu ambapo ni sawa na zaidi ya punda milioni moja kwa mwaka hivyo kuisababisha serikali hasara ya zaidi ya shilingi bilioni 32 kama ushuru na takribani bilioni 24.21 za kodi ya mapato ambayo yangepatika katika nyama ambayo ingeuzwa nchini",amesema Waziri Mpina.

Katika hatua nyingine Waziri Mpina ameunda tume ya watalaam kutoka wizarani kufanya tathmini kama kiwanda hicho kimetimiza masharti yote yaliyotolewa na serikali baada ya kukifungulia adhabu Februari mosi mwaka huu

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala