Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msigwa awapa maneno mazito waombolezaji

Wednesday , 21st Feb , 2018

Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mch. Peter Msigwa amewataka waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Kiongozi wa chama hicho Kata ya Hananasif Kinondoni, Danie John kutokata tamaa na kuwaambia hakuna mtu atakayeishi milele duniani.

Mchungaji Msigwa amesema hayo leo ambapo amewaomba waombolezaji kutokata tamaa na kuendelea kupigania haki ya kidemokrasia ambayo John ameipigania hadi mwisho wa maisha yake.

Aidha Msigwa amesema kwamba kifo cha John kimetokana na shughuli zake za kisiasa lakini hali hiyo isiwakatishe tamaa katika kupambania demokrasia.

Kwa upande wa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salum Mwalimu amepoteza maisha akipigania haki ya kidemokrasia. "Tunaamini John amefariki akitimiza majukumu yake ya kupiga kampeni kutafuta kura kwa ajili yangu na chama chake akipendacho,"

Aidha Mwalimu amesema kwamba endapo utamaduni wa miili ya watu kuokotwa ufukweni ukichwa utaandaa kizazi kitakacholipa kisasi. 

John alikuwa Katibu wa Chadema, Kata ya Hananasif, Kinondoni, Dar es salaam na mwili wake uliokotwa ufukweni mwa bahari ya hindi ambapo ulikuwa na majeraha ya kupihwa na kitu baada ya kutoweka Februari 11.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala