Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

MwanaCCM mbaroni kwa kujeruhi wanachama wa CUF

Wednesday , 4th Nov , 2015

Jeshi la polisi mkoani Tanga limemtia mbaroni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Julius Joseph kufuatia kuwajeruhi wafuasi wawili wa chama cha wananchi (CUF) kwa kuwakata kwa kutumia shoka na panga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna msaidizi wa Polisi Zubeir Mwombeji

Akielezea tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Kamishna msaidizi wa polisi Zubeir Mwombeji amesema chanzo cha tukio hilo ni ushabiki wa kisiasa ambapo waliwekeana nadhiri kuwa endapo mmoja kati ya wagombea nafasi ya udiwani atashinda upande mmoja utalazimika kutoa ahadi hiyo.

Kufuatia hatua hiyo kamanda wa polisi mkoa wa Tanga kamishana msaidizi wa polisi Mwombeji amewataka wafuasi wa vyama vya siasa kuachana na ushabiki wa kufanyiana vitendo vya kikatili kwa sababu kuna maisha baada ya uchaguzi.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema mara baada ya mtuhumiwa kufanya tukio hilo kundi la wafuasi wa chama cha (CUF) walifanya vurugu kuashiria kutaka kulipiza kisasi hatua ambayo jeshi la polisi lililazimika kutumia nguvu ya ziada ili kuokoa maisha ya mtuhumiwa huyo ambaye aliingia kwa ajili ya kujificha katika nyumba ya msamaria mwema.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala