Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nape atulizwa bungeni

Monday , 12th Nov , 2018

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amegusia suala la korosho kwenye mkutanowa 13 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati kwenye mkutano wa Jumatatu novemba 12 akiuliza swali kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye

Katika kikao hicho Nape Nnauye aliuliza "katika jitihada za Mkoa wa Lindi kuboresha elimu tulipitisha kila kilo moja ya korosho kukatwa shilingi 30 ili kuboresha elimu, kwa halmashauri kama ya kwangu tulipata zaidi ya milioni 400, Nini mpango wa serikali kuendeleza mpango huu, kwa kuwa wote tunajua hali iliyotokea kwenye korosho, ile fedha hatuwezi kuipata tena?".

Akijibu swali hilo ni vizuri Naibu Waziri TAMISEMI, Josephat Kandege amesema "Nape tusubiri najua unatamani korosho zinunuliwe, lakini vile ambavyo tulipanga viende kwenye maendeleo lazima viendelee,"

Kumekuwa na sintofahamu juu ya ununuzi wa zao la korosho baina ya wakulima, serikali pamoja na wafanyabiashara hali iliyopelekea serikali kutoa siku 4 kuanzia Ijumaa ya wiki iliyopita hadi leo jumatatu ya novemba 12 saa 19 jioni kama watanunua au hawatanunua.

Akizungumza na wanajeshi pamoja na Jeshi la Kujenga Taifa nchini ambapo aliambatana na Mkuu wa Majeshi nchini Jenerali Venance Mabeyo amesema "tumejifunza wametupa akili mapema wamechelewa na korosho zetu tutaziuza, na msimamo huu pia utaendelea kwenye mazao mengine kwa wale watakaotaka kuchezea wakulima, lazima tujipange kikamilifu."

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma