Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ndege za Tanzania kuwafuata kwao Wachina laki 1

Saturday , 17th Nov , 2018

Serikali imewahakikishia watalii nchini China kuwa, wataanza kufuatwa na ndege za shirika la Air Tanzania, na kuwaleta moja kwa koja nchini kwaajili ya masuala mbalimbali ikiwemo utalii na biashara.

Uwanja wa ndege wa Guangzhou

Hayo yameelezwa na Wizara ya Maliasiri na Utalii, kupitia kwa meneja mauzo na usambazaji wa Air Tanzania Edward Nkwambi na Mkurugenzi mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania Devotha Mdachi ambao wamesema lengo la serikali ni kuongeza watalii na wafanyabiashara.

''Tumekuja na mawakala wa Utalii Tanzania hapa Beijing ambapo tuna ziara katika miji 6 na tunauhakika kuwa ifikapo mwezi Februari 2019 idadi ya watalii kutoka China wataongezeka kwani watakuwa na fursa ya kutumia ndege za Air Tanzania moja kwa moja kutokea hapa'', alisema Nkwabi.

Aidha ameongeza kuwa ndege mpya ya kisasa ya 'Dreamliner' itakuwa inafanya safari hizo kutoka Guangzhou hadi Dar es salaam jambo ambalo lazima liongeze idadi ya watalii na kuchocheza ukuaji wa uchumi kupitia biashara kwani China imeendelea kwenye sekta hiyo.

Kwa upande wake Devotha Mdachi amesema Bodi ya Utalii Tanzania inategemea kuona idadi ya watalii kutoka China ikiongezeka kutoka Elfu 30 hadi 60 kwa mwaka na laki moja ndani ya miaka miwili ijayo kutoka na urahisi wa usafiri utakaokuwepo.

Ndege ya Dreamliner ambayo ilinunuliwa na serikali, ina uwezo wa kubeba abiria 240 kwa wakati mmoja na pia ina uwezo wa kufanya safari za moja kwa moja za masafa marefu ikiwemo China na Marekani.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala