Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ndugai ulipaswa uwe gerezani"- Peter Msigwa

Thursday , 14th Sep , 2017

Mbunge wa Iringa mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa ameibuka na kumvaa Spika wa Bunge Mhe.Job Ndugai kwa kumwambia hana sifa ya kuwa kiongozi wa kusimamia nidhamu ndani ya bunge bali alipaswa kuwa gerezani muda huu.

Peter Msigwa ameleza hayo mchana wa leo alipokuwa mjini Nairobi nchini Kenya kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu aliyeshambuliwa kwa kupigwa na risasi na watu wasiofahamika katika siku za hivi karibuni na kupelekea kuamsha hisia za watu wengi juu ya jambo hilo ambalo halikuwahi kutegemewa kutokea Tanzania nchi yenye amani na usalama wa kutosha. 

"Ninaomba mumuogope Mungu kwa sababu tunaleta mchezo na maisha ya Watanzania, mnataka kutunyamazisha ili tusiseme. Tutasema mpaka mwisho wetu kwa sababu uhai wetu na usalama wa taifa letu umetishiwiwa kwa kiwango cha juu sana lakini Mhe. Ndugai wewe kama spika unasifa gani ya kutuambia sisi tuwe na adabu ndani ya bunge wakati wewe mwenyewe kipindi cha kampeni ulionekanaa ukipiga watu hadharani na fimbo, ulitakiwa uwe gerezani na siyo kutusimamia nidhamu ndani ya bunge", amesema Msingwa.

Pamoja na hayo, Msigwa ameendelea kwa kusema "Nakuchukulia Mhe. Job Ndugai kama wewe ni adui, yaani wewe ni adui wa usalama wa taifa la Tanzania kwa sababu unasababisha muhimili wa bunge uwe dhaifu kutokana na serikali ya Tanzania imekuteka na kukupa maagizo na kulifanya bunge liwe butu, lishindwe kusimamia maamuzi na kulisimamia serikali. Nasema haya kwa ujasiri mkubwa sina kitu cha kuogopa tena kama ndugu yetu ameshapigwa risasi na tumeshaambiwa tunaofutwa ni sisi hivyo hatuna cha kuogopa kusema jambo lolote", amesisitiza Msigwa.

Kwa upande mwingine, Mchungaji Msigwa amedai muda mwingine wanashindwa hata kuwaambia watoto wao kuwa Mhe. Job Ndugai ni kiongozi wao wa bunge kwa kuwa wanatishwa, wanafukuzwa pamoja na kupigwa pingu huku akisisitiza kuwa yupo tayari kufukuzwa bungeni lakini hatoweza kukaa kimya.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi