Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nimeshawishiwa kuhamia CCM- Mwenyekiti wa BAVICHA

Wednesday , 16th May , 2018

Mwenyekiti wa Baraza la vijana Chadema (BAVICHA), Patrick Ole Sosopi, amesema amewahi kushawishiwa na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ili aweze kuhamia chama hicho tawala.

Ole Sosopi amesema hayo leo Mei 16 akiwa studio za EATV katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kila siku ya Jumatano kuanzia saa 8:00 mchana hadi saa 10:00 za jioni na kuongeza kuwa yeye hana thamani ambayo itaweza kumnunua kwakuwa ni tegemeo la vijana wa CHADEMA nchi nzima.

“Ndiyo nimewahi kushawishiwa na kiukweli ukiwa bora watataka kukuonesha kwamba utakua bora zaidi, kumbe sio sahihi, ubora wa Ole Sosopi unaoonekana leo CHADEMA, kama ningekuwepo CCM inawezekana ninsingepata hata ubalozi wa nyumba kumi, naamini kule hawathamini uwezo bali ni nani anakujua na historia yako” amesema Ole Sosopi.

Kiongozi huyo wa BAVICHA Taifa ameongeza kuwa watu hao walikua wakimshawishi kwa kutumia njia ya kiurafiki kwa kumwambia kuwa kutokana na ubora wake alistahili awepo upande wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Novemba 21, 2017 aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) Patrobasi Katambi alitangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya kufurahishwa na utendaji kazi wa mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt. John Magufuli

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala