Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais ataja vitu vinavyowaharibu wanaume

Thursday , 6th Dec , 2018

Rais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS), Fatma Karume amefunguka kuwa kinachowaharibu wanaume huwa ni pesa na madaraka na si kingine, wengi wao hugeuka na kuanza kufanya vitendo vya kikatili.

Mwanaume akipigana na mwanamke.

Kupitia ukurasa wake wa kijamii wa 'twitter' ameandika kuwa, "Vitu viwili vinamharibu mwanaume dhaifu: PESA NA MADARAKA. Akishayapata hayo mawili anapofuka macho na anakua kiziwi ispokua pale anaposifiwa tu".

Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa mwanamke mmoja katika kila wanawake watatu katika maisha yake amewahi kufanyiwa ukatili wa kijinsia ama kimwili, kingono na kisaikolojia.

Rais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS), Fatma Karume.

Ukatili wa kijinsia umegawanyika katika makundi mbalimbali ikiwemo ukatili wa kimwili, ukatili wa kisaikolojia, ukatili wa kingono, ukatili utokanao na mila na desturi, ukatili wa kiuchumi,    na ukatili wa kijinsia sehemu za kazi.

Zipo sababu mbalimbali zinazopelekea ukatili wa kijinsia ikiwemo, mifumo ya jamii isiyozingatia usawa baina ya wanawake na wanaume, wanawake kutokuwa na sauti na ushiriki kwenye vyombo vya maamuzi ndani ya jamii na mitazamo hasi ya wanajamii kwa wanawake, pamoja na mfumo dume kwenye jamii.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja