Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais atoa neno kuhusu Kibiti, Rufiji

Tuesday , 20th Jun , 2017

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amewaonya wanaojihusisha na vitendo vya mauaji wilayani Kibiti na Rufiji, mkoani Pwani, huku akisema kuwa vitendo hivyo ndivyo vinafanya maeneo hayo kukosa kiwanda hata kimoja.

Ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake mkoani Pwani Mhe. Magufuli amesema kwamba watu wanaochelewesha maendeleo ya Wilaya ya Kibiti na Rufiji ni wananchi wenyewe ambao wanawaficha watu wanaofanya uhalifu ilhali wanaishi mitaani kwao.

"Tunaochelewesha maendeleo ya Kibiti na Rufifi ni sisi wenyewe, kwa sababu tunawaficha watu wanaofanya vitendo vya kihalifu na mauaji, tuna kaa nao na tunawajua huku wengine wakiwa ni watoto wetu, tumewaficha kwa hivyo mtaendelea kukaa bila kiwanda hata kimoja. Lakini niseme watanyooka na salamu ziwasifikie. Serikali ya awamu ya tano siyo ya kuchezewa na watanyooka hata hivyo wameshaanza kunyooka. Hawatapita na nimesema hawapiti", alisema Rais Magufuli.

Aidha pamoja na hayo Rais Magufuli  amesema atahakikisha anazitatua changamoto zinazosababishwa na viongozi ambao wana tamaa na wanatumia vibaya rasilimali za nchi kwa kuwachukulia hatua viongozi wazembe wanaorudisha maendeleo nyuma.

“Niwahakikishie ndugu zangu kuwa nitalala nao mbele kwa nguvu zangu zote. Nitalala nao mbele kwa kumtanguliza Mungu ili maisha ya Watanzania yabadilike” Mhe. Magufuli aliongeza.

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi