Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli apongezwa

Monday , 21st Aug , 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa shirika la kimataifa la JICA Bw. Shinichi Kitaoka Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo amepongezwa kwa harakati za kupamabana na rushwa.

Katika mazungumzo hayo Bw. Kitaoka amempongeza Rais Dk. Magufuli kwa uongozi mzuri na wa mfano hasa msukumo mkubwa anaoutoa katika maendeleo hususani katika kuifanyaTanzania nchi ya viwanda pamoja na kupambana na vitendo vya rushwa.na kuahidi kuwa JICA itaendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo kwa Tanzania.

Bw. Kitaoka ambaye ni mara ya kwanza kuitembelea Tanzania amemuahidi Rais Magufuli kuwa miradi yote ya nyuma na ya sasa inayotekelezwa na Tanzania na JICA itamalizika kwa wakati ikiwemo mradi wa Flyover wa Tazara unaoendelea kujengwa, mradi wa barabara ya Mwenge - Morocco yenye urefu a kilometa 4.3 na mradi wa ujenzi wa daraja la Gerezani.

Kwa upande wake mh Dk. Magufuli amemshukuru Rais huyo wa JICA kwa uamuzi wake wa kuja Tanzania na amemuhakikishia Tanzania inatambua mchango mkubwa ambao Japan inautoa katika maendeleo ya Tanzania kupitia JICA.

Mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Balozi wa Japan hapa nchini Masaharu Yoshida, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dotto James, Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mhandisi Joseph Nyamhanga na Mtendaji Mkuu wa wakala ya barabara nchini Mhandisi Patrick Mfugale.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ