Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu za Maalim kuiacha CHADEMA

Tuesday , 19th Mar , 2019

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, amesema kwamba sababu iliyomfanya kukichagua chama cha ACT- Wazalendo ni pamoja na moyo wake kuridhia.

Zitto kulia akiwa pamoja na Maalim Seif

Amesema kwamba, kabla ya kufanya maamuzi walitembelea vyama vyote vinavyounda Ukawa ili kuchagua kipi kingemfaa yeye pamoja na wenzake na ndipo wakavutiwa na chama hicho.

Amesema baada ya kutazama vyama hivyo waliamua kukitembelea ACT na kwa kuwa tayari kilikwishapeleka maombi ya kujiunga na Ukawa ndipo mahali mioyo yao iliporidhia.

"Vyama vya upinzani vyote ni vizuri, lakini kwenye uzuri kipo ambacho kinazid. ACT mioyo yetu imeridhia safi kabisa", amesema.

Baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa ACT, Maalim amesema hataki kutajiwa au kusikia habari za Lipumba kwa kuwa hataki kugombana tena na kiongozi huyo.

Seif akijibu swali la kuhusu Lipumba kudai kwamba Seif alidekezwa ndani ya chama ndiyo maana yametokea yaliyotokea, amesema kwamba kwa upande wake na Lipumba yamekwisha

"Leo sitaki kuongelea lolote kuhusu Lipumba, sitaki kulumbana na yeye. Lipumba Kwangu mimi finish", amemalizi Maalim kwa msisitizo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala