Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sasa hivi bodaboda wanakula raha tu" - Kangi

Monday , 20th May , 2019

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema kuwa hakuna bodaboda yoyote itakayokamatwa isipokuwa zilizohusika katika ajali, uhalifu na pikipiki ambazo hazina mwenyewe.

Waziri Kangi Lugola.

Waziri Kangi ametoa kauli hiyo bungeni jijini Dodoma leo Mei 20, wakati akijibu swali la Mbunge viti maalum (CCM) kutoka mkoani Tabora Rehema Migila, ambaye alihoji kuwa kumekuwa na ukamataji wa bodaboda kiholela na zinaporudishwa kwa wamiliki huwa zimechomolewa baadhi ya vifaa na zingine hubambikiziwa kesi kubwa na wamiliki kuzitelekeza.

Kangi amesema kuwa hakuna bodaboda itakayokamatwa kwa makosa ya mwendokasi au kutovaa kofia ngumu (helmet) isipokuwa pikipiki iliyotumika katika uhalifu, iliyopata ajali na bodaboda ambayo haina mwenyewe.

"Hakuna bodaboda itakayokamatwa kama haiko katika makundi hayo matatu, hakuna atakayepelekwa kituo cha polisi kwa makosa madogo madogo, sasa hivi bodaboda nchi nzima wanakula raha tu", amesema Waziri Kangi.

Hayo yamejiri baada ya bodaboda nyingi kukamatwa na kupelekwa katika vituo vya polisi, hali ambayo hupelekea madereva wengi kuzitelekeza vituoni kutokana na kushindwa kuzilipia faini.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ