Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali ipunguze matumizi mabovu ya Fedha

Thursday , 25th Jun , 2015

Serikali imeshauriwa kuzuia matumizi mabovu ya fedha za umma pamoja na kuziba mianya ya rushwa inayopelekea serikali kushindwa kukusanya mapato yake na kutafuta njia mbadala ambazo zinaonekana kuwaumiza wananchi.

Mbunge wa Kigoma kusini Mh, David Kafulila.

Akichangia muswada wa sheria ya fedha uliowasilishwa leo bunge na waziri wa fedha, mbunge wa Kigoma kusini Mh, David Kafulila amesema kuwa serikali imekuwa na matumizi mabovu na yanovunja sheria yanayopeleka nchi kukosa mapato.

Mh. Kafulila ametaka serikali kutoa ripoti ya upotevu wa takribani bilioni 238 ambazo zilitumika kununuliwa mabehewa ambayo hayakidhi viwango na kuongeza serikali imekosa ubavu wa kuvikabili vyanzo vikubwa vya ukusanyaji wa mapato.

Mbunge huyo amesema kuwa endapo fedha hizo zingepatikana kusingekuwa na haja ya kuongeza tozo ya mafuta ka ajili ya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo ya kusambaza umeme vijijni na Maji kama bajeti ya mwaka huu ilivyotoa kipaumbele.

Aidha ameongeza kuwa Tanzania imekuwa kinara wa Uingizaji wa Bidhaa feki ambazo zinaingia katika bandarini na mamlaka husika kushindwa kuchukuwa hatua madhubuti za kudhibiti suala na kufanya serikali kupoteza imani na wananchi.

Amesema kuwa ulipaji wa kodi ni imani ambayo wananchi wanayo juu ya serikali yao lakini kutokana na wananchi wa Tanzania kukosa imani ndiyo kunawafanya wafanyabaishara wengi kutokuona umuhimu wa ukusanyaji wa kodi hizo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala