Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yamtaka Zitto kusubiri

Wednesday , 18th Apr , 2018

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imemtaka mbunge wa Kigoma mjini Zitto Zuberi Kabwe, kuvuta subira juu ya ujenzi wa bandari katika ziwa Tanganyika mkoani Kigoma.

Akijibu swali za Zitto Kabwe lililotaka kujua ni kwa nini serikali haijaidhinisha utangazwaji kwa zabuni za ujenzi wa bandari hiyo mkoani Kigoma licha ya maandalizi kuwa tayari, serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano John Elias Kwandikwa, amesema ujenzi wa bandari hiyo tayari umeshawekwa kwenye bajeti ijayo. 

“Siyo kweli kwamba serikali imezuia, ujenzi una hatua zake, tunaanza kwenye usanifu, kuweka fedha , kama kuna jitokeza jambo linajitokeza lazima serikali ichukue hatua, nikutoe wasi wasi tusubiri wakati wa bajeti utaona namna tulivyojipanga, maeneo yote ambayo Zitto anataja tumeainisha vizuri kwenye bajeti, ni Jumatatu tutaanza kuwasilisha bajeti ya wizara hii”, amesema Naibu Waziri Kwandikwa.

Kwenye swali lake Zitto Kabwe ameainisha kwamba bajeti ya ujenzi wa bandari hiyo ilishatengwa tangu mwaka 2016/17 na tayari mamlaka ya bandari ilishaweka utaratibu wa manunuzi, na kusema kwamba Wizara imezuia kutangaza zabuni hizo.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ