Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yamkingia kifua Makonda

Thursday , 19th Apr , 2018

Serikali kupitia Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, imesema zoezi la kuhamasisha kina mama waliotelekezwa na wazazi wenzao kwenye malezi ya watoto lililoendeshwa na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Mkonda lipo sahihi na hajakosea.

Akijibu hoja za wabunge mbali mbali Bungeni, Waziri Ummy Mwalimu amesema zoezi hilo lilikuwa halali kwa sababu lipo chini ya kifungu cha sheria ya watoto ya mwaka 2009, ingawa kweli kulikuwa na makosa ambayo waliyafanyia kazi.

Waziri Mwalimu amesema sheria hiyo inawaruhusu maafisa wa ustawi wa jamii kusimamia suala la malezi ya mtoto pale familia inapofarakana, na Paul Makonda alipitia mgongo wa ustawi wa jamii ambayo pia ipo chini ya ofisi yake.

Zoezi lilikuwa ni halali, kwa sababu sheria ya mtoto namba 21 ya mwaka 2009, inatoa mamlaka kwa kamishna wa ustawi wa jamii kusimamia matunzo na malezi, zoezi lile liliendeshwa na maafisa wa ustawi wa jamii, suala lililojitokeza ni suala la faragha na kulinda haki za mtoto, baada ya kutoa tahadhari ile, sasa hivi zoezi linaendeshwa bila ku-expose sura za watoto, alichofanya makonda ni kuwahamasisha wanawake waende”, amesema Ummy Mwalimu.

Sambamba na hilo Waziri Ummy Mwalimu amesema wananchi wana changamoto kubwa ya kutokuwa na uelewa wa kupeleka mashtaka ya malezi ya watoto kwa ustawi wa jamii, na kuishia kubaki na mzigo wa kulea familia peke yao.

Zoezi hilo ambalo limeendeshwa na RC Makonda, limetuhumiwa kukiuka haki za mtoto, huku baadhi ya viongozi na wabunge wakilaumu na kusema kwamba suala la malezi ya mtoto ni suala la faragha na sio la kuliweka wazi kwenye jamii, huku wakitaka kiongozi huyo kuwajibishwa kwa kukiuka masuala hayo.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi