Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tuzo za EATV zimeibeba kampeni yetu - Barclays TZ

Tuesday , 13th Dec , 2016

Benki ya Barclays Tanzania imeeleza mafanikio ya kampeni yake ya 'Ready To Work' kupitia Tuzo za EATV zilizohitimishwa hivi karibuni, ambapo benki hiyo ilikuwa mmoja wa wadhamini.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Barclays Bank Tanzania Aron Luhanga

Benki hiyo imesema lengo la kampeni hiyo ni kuwajenga vijana hususani  wahitimu wa vyuo vikuu ili waweze kukabiliana na tatizo la ajira kupitia tuzo hizo kwa kuwa burudani ni kishwawishi kikubwa kwa vijana.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Barclays Bank Tanzania Aron Luhanga  amesema bado kuna changamoto kubwa kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu kuweza kujiuza katika soko la ajira kwa hiyo kupitia Tuzo za EATV wako tayari kuwaelimisha vijana ili waweze kukabiliana na changamoto hiyo.

Amesema wakati kampeni ya Ready To Work ilipoanzishwa, kulikuwa na kusuasua lakini baada ya kuingia katika tuzo hizi, mwamko umekuwa ni mkubwa, ambapo hivi sasa wanapokea simu takriban 400 kwa siku za vijana wanaohitaji kujiunga na mpango huo.

Msikilize hapa:- 

 

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi