Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufaulu wawa kikwazo vyuo vikuu

Wednesday , 18th Oct , 2017

Kaimu Katibu Mtendaji Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania TCU, Prof. Eleuther Mwageni amesema ufaulu wa wanafunzi wanaoomba kujiunga na vyuo ndio imekuwa changamoto kwenye kuchagua vyuo na kozi za kwenda kusomea.

Prof. Mwageni amesema hayo leo baada ya kufunguliwa kwa awamu ya tatu ya udahili ambayo itawahusu wanafunzi ambao tayari wameshaomba na sio waombaji wapya. Awamu ya tatu imeanza leo Oktoba 18 hadi 22.

Katika kueleza changamoto ambazo tume inakutana nazo kwa waombaji ni namna ya kuzingatia ufaulu wao pamoja na kozi husika sambamba na chuo anachoomba.

“Kwa awamu mbili za awali tatizo kubwa limekuwa ni ufaulu, unakuta mtu ana daraja la kwanza lakini ana ‘C’ tatu mwingine ana daraja hilohilo lakini ana ‘A’ tatu, sasa mkiomba kozi moja na inahitaji watu kumi unafikiri mwenye ‘C’ atachaguliwa halafu mwenye ‘A’ tatu aachwe?, sio rahisi sasa waombaji wanashindwa kuzingatia ufaulu wao na idadi ya watu wanaohitajika kwenye kozi hiyo ndani ya chuo anachoomba”, amesema Mwageni.

Aidha Kaimu Katibu huyo amesisitiza waombaji kutembelea vyuo walivyoomba ili kujua kama wamechaguliwa au la, kisha kuomba tena na kama wamechaguliwa zaidi ya chuo kimoja basi wachague chuo kimoja ili kuirahisishia Tume.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma