Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Utafiti Twaweza hauna Vigezo- Membe

Monday , 17th Nov , 2014

Utafiti uliofanywa na taasisi ya twaweza juu nafasi ya mgombea uraii katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015,umepingwa na mmoja wa mtu anayetajwa kuwa na nia ya kutaka kugombea nafasi ya urais, kupitia CCM.

Mjumbe wa halmashari kuu ya Taifa ya CCM,na mbunge wa mtama mkoani lini,ambaye pia ni Waziri wa mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh, Bernad Membe

Mjumbe wa halmashari kuu ya Taifa ya CCM,na mbunge wa mtama mkoani lini,ambaye pia ni Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa,Mh, Bernad Membe anajitokeza mbela ya vyombo vya habari,nakupinga vikali utafiti huo kwa kile alichodai ni kukosa vigezo.

Aidha Mh, Bernard Membe anasema kuwa,utafiti huo haukuzingatia vigezo vya 531 na kuwa utafiti huo umekuja mapema,wakati ambapo hakuna chama kilichomtangaza mgombea wake,huku akidai kuwa utafiti huo umeleta changamoto nchini,huku akipinga kitendo cha kuchanganya wanachama hao toka vyama vyaCUF na CHADEMA vyama anavyovieleza kuanza kupoteza mwelekeo wa siasa ya ushindani.

Utafiti huo wa Twaweza uliotoka hivi karibuni umeonyesha kuwa Mh. Edward Lowassa Mbunge wa Monduli akiongiza kinyang'anyiro hicho huku akifatiwa na Mh. Pinda kwa Upande wa Chama cha Mapinduzi na Dkt. Wilbroad Slaa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala