Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wabunge waliosimamishwa watoa ya Moyoni

Wednesday , 1st Jun , 2016

Wabunge waliosimamishwa bungeni kutokana na makosa mbalimbali wamesema kuwa hatua iliyochukuliwa dhidi yao wana wasawasi kuwa bunge hilo litakuwa kibogoyo na litashindwa kufanya kazi yake kama inavyotakiwa.

Bungeni Dodoma

Wakiongea kwa nyakati tofauti Mjini Dodoma, Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Zitto Zuberi Kabwe amesema kuwa ni dhahiri wasiwasi waliokuwa nao toka awali unajidhihirisha wazi kuwa bunge hilo litakua ni kibogoyo na kukosa maamuzi.

Nae Mbunge wa Bunda Mhe. Esther Bulaya amesema lengo kuu la adhabu iliyotolewa dhidi yao ni kutaka kupunguza nguvu ya upinzani bungeni pamoja na kutaka kuwatisha wabunge washindwe kuwawakilisha wananchi wao ipasavyo.

Kwa upande wake Mbunge aliesimamisha kwa vikao Kumi mfululizo Mhe. John Heche amesema hata kama atarejea ndani ya bunge hilo ataendelea na misimamo yake ya kutetea wananchi bila woga kwa kujali maslahi ya taifa.

Hati hivyo Baraza la Vijana la Chama cha Demkorasia na Maendeleo CHADEMA wamelalamikia kitendo hicho huku wakimtaka Naibu Spika Mhe. Tulia Ackson ajipime mwenye kama anafaa kuendelea kuliongoza bunge hilo huku Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC),Hellen Kijo Bisimba akisema hatua hiyo imewanyima haki wananchi kwa wabunge waliowachagua.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala