Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachache wajitokeza Uchaguzi jimbo la Arusha Mjini

Monday , 14th Dec , 2015

Uchaguzi mkuu wa ubunge katika jimbo la Arusha mjini umefanyika kwa amani, huku idadi ya wapiga kura waliojitekeza ikiwa ndogo kulinganishwa na chaguzi zilizopita.

Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Themi, Esther Kashangaki

Uchaguzi huo unafanyika ikiwa ni zoezi la kukamilisha uchaguzi mkuu octoba 25 mwaka huu, kufuatia kifo cha mgombea wa ubunge wa chama cha ACT wazalendo Estomih Mallah, aliyefariki siku chache kabla ya uchaguzi.

Wapigakura waliondikishwa kwenye daftari katika jimbo la Arusha Mjini ni laki tatu kumi na saba elfu mia nane na kumi na nne huku taswira ya awali inaonesha idadi ndogo ya wapiga kura tokea kufunguliwa kwa vitua saa moja asubuhi hadi kufungwa kwake majira ya saa kumi jioni

Wagombea wanaoshiriki katika uchaguzi huo ni pamoja na Godbless Lema wa cha cha demokrasia na maendeleo Chadema anayejaribu kutetea kiti hicho baada ya kuongoza kwa miaka mitano.

Mgombea mwingine ni Philemon Mollel kupitia CCM aliyepiga kura katika kituo cha shule ya sekondari kimandolu kata ya kimandolu.

Zuberi Mwinyi mgombea kupitia chama cha wananchi Cuf aliyepiga kura katika kituo cha YMCA daraja mbili.

Mwingine ni mgombea pekee mwanamke Navoi Mollel kupitia chama cha ACT Wazalendo aliyepiga kura katika kituo cha Burka shuleni katika kata ya Olasiti.

Katika uchaguzi huo unaofanyika katika vituo 721 kwenye kata 25 za jimbo la Arusha mjini, baadhi ya wapiga kura wamesema mazingira ya zoezi hilo ni tulivu.

Hadi tunakwenda mitamboni matokeo rasmi ya uchaguzi huo yalikuwa bado hayajatangangazwa ambapo tofauti na ilivyozoeleka matokeo kujumuishwa na kutangazwa katika ofisi za halmashauri ya jiji safari hii zoezi hilo linafanyikia katika eneo la Chuo cha VETA Kata ya Engutoto Nje kidogo ya Jiji la Arusha.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja