Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara EU wawekeza dola bil 2 Tanzania

Thursday , 27th Oct , 2016

Wafanyabiashara wa nchi za umojan wa ulaya (EUBG) wamezindua ripoti inayotoa mwongozo kwa Tanzania ya namna ambavyo uwekezaji katika viwanda kwa nchi hizo utakavyoinufaisha nchi na kukuza maendeleo ya viwanda.

 

Akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo, Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa nchi za Ulaya Bwana Mortan Juul amesema EUBG wataendelea kuwekeza Tanzania kwa miaka mingine 5 katika sekta ya madini, mafuta na gesi, utalii, nishati ya umeme, kilimo, TEHAMA, biashara na miundombinu.

Ripoti hiyo inaonesha kuwa kwa mwaka jana pekee nchi za Ulaya ziliwekeza kiasi cha Dola za Marekani bilioni mbili, ambapo katika viwanda wamewekeza kwa asilimia 68 ambapo ulipaji kodi wa makampuni yao makubwa inaonesha kuwa wameongeza mapato ya ndani.

Godfrey Simbeye

Naye  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta binafsi nchini, Bwana Godfrey Simbeye anasema ni vyema serikali ikaboresha sera na kuweka mazingira mazuri ili kuvutia wawekezaji ambao wataongeza kipato na kukuza soko la ajira nchini.

HABARI ZAIDI

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP