Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyakazi 5 Azam Media, madereva 2, wafariki

Monday , 8th Jul , 2019

Watu 7 wamefariki dunia na watatu wamejeruhiwa, katika ajali iliyotokea eneo la Malendi Iramba mkoani Singida. 

Picha ya ajali

Taarifa zinaeleza kuwa watu hao ni waandishi wa habari waliokuwa katika safari ya kikazi, wakielekea Chato mkoani Geita. Kwa mujibu wa Mganga Mfawidhi, Hospitali ya Wilaya ya Igunga, Tabora.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Sweetbert Njewike amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo, ambapo gari dogo walilokuwa wamepanda wafanyakazi hao limegongana na lori lililokuwa likitoka Igunga kuelekea Dar es salaam.

Miongoni mwa vifo hivyo ni pamoja na wafanyakazi wa Azam Media, Salim Mhando, Florence Ndibalema, Said Haji, Sylvanus Kasongo na Charles Wandwi, wengine ni dereva na utingo wake ambao majina yao hayajafahamika.

Majeruhi ni Mohamed Mwinshehe, Mohamed Mainde ambao wapo ICU pamoja na Artus Masawe ambaye yake ni nzuri kiasi.

Kufuatia taarifa ya ajali hiyo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ametoa salamu za rambi rambi kwa uongozi na wafanyakazi wa Azam Media kwa kupoteza wafanyakazi wake watano.

"Nimeshtushwa sana na vifo hivi, nampa pole Mwenyekiti Ndugu. Said Salim Bakhresa, ndugu wa marehemu wote, Mtendaji Mkuu Ndugu. Tido Muhando na wafanyakazi wote wa Azam Media Ltd, waandishi wa habari wote na watu wote walioguswa na vifo hivi", amesema Rais Magufuli katika taarifa rasmi ya Ikulu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala