Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafungwa wa ubakaji watengwe - Mbunge

Tuesday , 22nd May , 2018

Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Saada Ramadhan Mwandwa ameitaka serikali kuweka utaratibu wa kuwatenganisha wafungwa wa makosa ya ubakaji wakiwa gerezani ili kuwanusuru watu hao kutoendelea na tabia hizo wakiwa kwenye kifungo.

Mjumbe huyo ameyasema hayo wakati akiuliza swali lake la msingi katika kikao hicho na kuhoji kuwa serikali haioni kwamba kuwachanganya wafungwa wa makosa mengine kunaweza kuwafanya kuendelea na tabia ya ubakaji wakiwa kifungoni.

Akijibu swali la mwakilishi huyo wa nafasi za wanawake, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum, Shamata Shaame Khamis amesema kuwa hakuna maeneo maalum gerezani yanayotengwa kwa ajili ya kuwekwa makundi fulani ya wahalifu wanaotumikia adhabu zao.

"Wanaotumikia adhabu wakiwa gerezani wanaweza kuhukumiwa kutokana na makosa tofauti yakiwemo uhaini, wizi, ugaidi, unyang'anyi pamoja na hayo ya ubakaji na udhalilishaji wa wanawake pamoja na Watoto. Ni kweli kila kosa linaathari zake kisailolojia kwa mkosaji na kwa wale wanaomzunguka", amesema Shaame.

Kwa upande mwingine, Shaame amesema chuo cha mafunzo kina-program ya ushauri nasaha kwa wafungwa hasa wale wafungwa wenye hulka za kipekee kama wa makosa ya ubakaji.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi