Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume huwaza ngono kila baada ya sekunde tano

Wednesday , 11th Jul , 2018

Utafiti umeonesha kuwa wanaume hasa vijana huwaza ngono muda mwingi kulinganiasha na wanawake au vijana wa kike kutokana na sababu za kisaikolojia.

Wanaume wa kiafrika

Akizungumza na www.eatv.tv mwanasaikolojia Dismas Lyaasa amesema kuwa wanaume kutokana na asili ya maumbile yao huwaza ngono kila baada ya sekunde tano mpaka saba.

"Kutokakana utafiti uliofanywa na taasisi ya uchunguzi wa masuala ya jinsia 'Kinsey Institute' kutoka Marekani chini ya daktari Alfred Charles Kinsey unaonesha kuwa mwanaume huwaza ngono mara mia tano kwa saa na mara elfu nane kwa siku sawa na saa kumi 16 ndani ya siku moja”, amesema Dismas

Aidha Dismas ameongeza kuwa jambo hili mara nyingi linawakumba wanaume ambao huelekeza mawazo yao kwa wanawake kila wanapokuwa karibu nao, na kwa ambao hawafanyi mazoezi ambapo miili ukaa kizembe na kusababisha ubongo kutopambanua mambo kwa wakati.

Hata hivyo Dismas amaeendelea kwa kusema matokeo ya jambo hili husababisha wengi kuanza kujihusisha na vitendo vya kujichua ‘masterbation’ na kupelekea wengine kuwabaka wapenzi wao au wasio wapenzi wao.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari