Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake msikubali kurubuniwa na wanasiasa: Regina

Thursday , 3rd Sep , 2015

Wanawake nchini wametakiwa wasikubali kurubuniwa na wanasiasa, bali wauone mwaka huu 2015 wa mabadiliko na kuiweka madarakani serikali sahihi, ili iweze kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia biashara zao, na kuwaboresha sekta ya Afya.

Mke wa mgombe wa nafasi ya Urais wa Chadema, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa

Akiongea na wanawake wa mjini Sumbawanga mkoani Rukwa, mke wa mgombea , mama Regina Lowassa, amesema wanawake wanapaswa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kura mwaka huu.

Aidha ameongeza kuwa ili wapate neema ya kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia shughuli zao za kibiashara zisizokuwa na wingi wa kodi na ushuru kama ilivyo hivi sasa, zinazowaletea kero na kuwafanya wasiwe na maendeleo yoyote basi ni bora wachague UKAWA ili kuyapata yote hayo.

Kwa upande wao baadhi ya wanawake waliohudhuria kikao hicho, wameiomba serikali ya awamu ya tano itakapoingia madarakani, iwaondoe kwenye adha kubwa ya kufanyia shughuli zao za kibiashara kwenye mazingira yenye miundombinu mibovu licha ya kulipa kodi na ushuru mbalimbali, pamoja na kuangalia namna ya kuwalipa wenyeviti wa serikali za mitaa posho.

HABARI ZAIDI

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba