Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zahanati yakwama kuzinduliwa kisa nyumba ya Mganga

Wednesday , 20th Mar , 2019

Wakazi wanaoishi mwambao wa ziwa Tanganyika, katika Kijiji cha Itetemya Halmashauri ya mpanda Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi wanakabiliwa na tatizo kubwa  la kukosa huduma za afya.

Zahanati

Hali hiyo inawalazimu kwenda umbali mrefu  kupata huduma za afya wakati mwingine akinamama wajawazito hujifungulia njiani na wengine kujifungulia majumbani.

Wakazi hao wameiomba serikali kuwatazama kwa ukaribu wananchi hao  kwa kuwafungulia Zahanati  iliyojengwa kwa nguvu zao na msaada kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF awamu ya tatu, baada ya wananchi hao kuibua mradi huo lakini tangu kukamilka kwake miaka miwili  iliyopita bado haujaanza kufanya kazi kutokana na kutokamilika kwa nyumba ya Mganga Mkuu.

Baadhi ya wakazi hao wakapaza sauti zao kwa serikali kuiomba iweze kuwafungulia zahanati  hiyo ili waweze kupata huduma jirani na kuepusha vifo.

Picha ya Zahanati ya Kijiji cha Itetemya

 

Mwenyekiti wa Kijiji anaizungumziaje Zahanati hiyo

 

Kwa upande wake mwenyekiti wa kijiji cha itetemya ameeleza kwa masikitiko makubwa adha wanazopata wananchi wake, akisema kwamba kwa upande wa TASAF wao walishamaliza kazi yao lakini tatizo linaloikwamisha ufunguzi wake bado haijulikani.
 

HABARI ZAIDI

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro