Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwingine Tume ya Uchaguzi auawa

Sunday , 20th Aug , 2017

Jeshi la Polisi Kauti ya Siaya  nchini Kenya limeutaka umma kuacha polisi kufanya kazi yao juu ya uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa  msimamizi msaidizi katika uchaguzi mkuu wa Kenya uliofanyika Agosti 8 baada ya mwili wake kukutwa akiwa ameshafariki. 

Mkuu wa Polisi katika Kaunti ya Siaya, Sarah Duncan alisema uchunguzi unaendelea na upelelezi wa awali unaonesha kuwa marehemu aliyejulikana kwa majina Caroline Odinga alibakwa na watu wengi na sehemu zake za siri pamoja na sikio moja kukatwa vibaya.

Mkuu huyo wa polisi alisema pia Mwili huo ulikutwa katika soko la Sega Jumamosi asubuhi na watu waliokuwa wakielekea katik amazishi ya Mkurugenzi wa TEHAMA wa IEBC, Chris Msando katika kijiji cha Lifunga.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo taarifa zinasema kwamba Familia ya Bi. Odinga inadai kuwa mara ya mwisho marehemu alitoka nyumbani akielekea kudai malipo yake kwa kazi aliyofanya ya usimamizi katika uchaguzi mkuu ulioisha.

Bi Odinga ambaye pia ni Mwalimu wa Ugenya High School alikuwa msimamizi msaidizi akifanya kazi na IEBC katika uchaguzi Mkuu wa Kenya mnamo Agosti 8 mwaka huu.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda