Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watu 3 wamwagiwa tindikali

Wednesday , 26th Jul , 2017

Watu watatu wa familia moja wamejeruhiwa na kitu kinachodhaniwa kuwa ni tindikali kwa kumwagiwa usoni, kifuani na mikononi mwao tukio lililotokea usiku 3:30 ya tarehe 19.07.2017, eneo la Manga, Mkoani Mbeya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya DCP Mohammed Mpinga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya DCP Mohammed Mpinga amewataja watu hao kuwa ni Vumilia Shangema (31) ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa Manga akiwa amefuatana na watoto wake wawili Loveness John (11) mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya Msinge Sinde na Nancy Peter (5) ambapo inadaiwa tukio hilo liliwapata wakiwa wanatokea dukani kununua bidhaa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

Inasemakana wakati wakiwa njiani waliweza kukutana mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Emmy Kyando (40) mkazi wa Sae mkoani humo ambaye inadaiwa kuwa ni mke mwenza wa muhanga wa tukio hilo na mara baada ya kuonana naye walimwagia kimiminika hicho katika sehemu za mbalimbali katika miili yao na baada ya hapo waliweza kupata msaada toka kwa wasamaria wema wa kupelekwa Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa matibabu.

Kamanda Mpinga amesema chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi dhidi yao, huku akisisitiza kuwa juhudi za kumtafuta mtuhumiwa zinaendelea kwa kushirikiana na mume wake aliyefahamika kwa jina la Lausi Kidagile.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP