Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AbduKiba afunguka kuachana na mkewe

Tuesday , 4th Dec , 2018

Staa wa Bongo Fleva AbduKiba amekanusha ndoa yake kuvunjika na yeye kutengana na mke wake mpaka kumrudisha kwao na kusema mke wake aliumwa na ilibidi arudi kwao ili kupata matunzo bora zaidi na wana familia.

AbduKiba akiwa na mkewe.

Abdu Kiba amefunguka kwenye eNewz ya EATV na kusema kwamba yeye na mke wake hawajawahi kugombana wala kupishana kauli kwa kuwa wao ni watu wazima na yupo na mke wake mpaka sasa.

"Mimi na mke wake hatujawahi kugombana wala kupishana kauli kwa kuwa wao ni watu wazima siwezi kumuacha kwa kuwa nampenda sana mke wangu", amesema AbdulKiba.

Katika hatua nyingine Abdukiba ameeleza kwanini Alikiba hajatokea akiimba katika video ya King Music 'TOTO' na kusema kuwa, "Yeye ametuonyesha njia ya kupita na nyimbo ya kwanza wakati tunaiachia alikuwa anatuonyesha njia na sasa tumeshaifaham njia hivyo ameamua kutuacha ili sisi tufanye wenyewe".

Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii zilizagaa taarifa zikidai kuwa ndoa ya mwanamuziki huyo imevunjika, ikiwa ni baada ya kuonekana katika video fupi na mwanadada wakiimba kipande cha wimbo wao mpya wa 'TOTO'.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi