Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Afrikasongs yavujisha siri ya utajiri kwa wasanii

Wednesday , 14th Dec , 2016

Kampuni ya burudani ya Afrikasongs.com inayofanya shughuli ya kuuza nyimbo za wasanii kwa njia ya mtandao imefichua siri kwa wasanii wa Tanzania wenye nia ya kutajirika kupitia kazi zao za muziki.

Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka

Mwakilishi wa kampuni hiyo ambayo pia ilikuwa ni moja ya wadhamini wa Tuzo za EATV, Dully Sykes amewashauri wasanii wa Tanzania kuuza kazi zao kupitia kampuni hiyo ili kupata pesa zinazoendana na ubora wa kazi zao kwa kuwa kampuni hiyo  inamlipa msanii asilimia 75 ya mauzo.

Dully amesema kampuni hiyo itaendelea kudhamini tuzo hizo hususani katika kipengele hicho cha wimbo bora wa mwaka, kwa kuwa wanaamini tuzo hizo zitafika mbali, na zitazidi kuwa bora ikizingatiwa pia kuwa EATV inafika mbali na kuwafikia watu wengi barani Afrika.

Pia Dully ambaye alikabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka, amezungumzia maandalizi na utoaji wa tuzo hizo, huku akitoa maoni yake kuhusu washindi waliopatikana.

Msikilize hapa Dully Sykes......

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi