Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Amber Ruty acheza utupu jukwaani

Monday , 18th Mar , 2019

Video Vixen, Amber Ruty ambaye hapo jana ameanza ku 'trend' kwenye mitandao ya kijamii baada ya kusambaa kwa video akiwa mtupu jukwaani, amefunguka juu ya tukio hilo la aibu, na kusema ni pombe ndio zimepelekea kufanya vile na kamwe hawezi kuvaa tena vazi kama lile.

Akizungumza na www.eatv.tv  Amber Ruty amesema mambo yote aliyoyafanya yalitokana na pombe, na hata nguo aliyovaa iliyomuacha wazi baadha ya sehemu za siri zikionekana, hakuivaa.

Amber Ruty mwenyewe ajitetea

“Mimi nilikuwa nimelewa, mimi sikuvaa zile nguo nilivyotoka nyumbani, tulivyoenda club kwenye saa 8 au saa tisa ndio nikajikuta nimevaa nguo ile, na siwezi kuvaa nguo kama zile kwenye maisha yangu yote, sijui nisemeje, kwa kifupi siko sawa”, amesema Amber Ruty.

Ikumbukwe kuwa video vixen huyo tayari ana kesi mahakamani ambayo anaweza akafungwa miaka 30 jela, iwapo atakutwa na hatia, baada ya kuvuja kwa video zake zikimuonesa akiingiliwa kinyume na maumbile, na mpenzi wake Saidi Mtopali jambo ambalo ni kinyume na sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma