Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol kumuoa Ebitoke ?

Saturday , 24th Mar , 2018

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye inasemekana yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na muigizaji wa vichekesho Ebitoke, amewataka watu kuwa na subira juu ya kujua ukweli uliyopo baina yao kwa madai hakuna jambo linaloweza kufichika milele.

Ben Pol ametoa kauli hiyo baada ya kila kukicha kusumbuliwa na waandishi pamoja na mashabiki zake kiujumla kutaka kujua ukweli juu ya ukaribu wake na mchekeshaji huyo ambaye yeye binafsi anatangaza kuwa yupo kimapenzi na Ben kimapenzi kila aulizwapo na watu.

"Sijawahi kutoka katika mahusiano na Ebitoke yaani kila kitu kipo vile vile hakuna kilichobadilika baina yetu. Siwezi kusema kama nipo kwenye mahusiano naye ila tupo karibu sana", amesema Ben Pol.

Pamoja na hayo, Ben Pol ameendelea kwa kusema "watu wawe wanasubira maana wanauliza sana juu ya hilo lakini mimi ninachoweza kusema watu wawe na subira kila kitu kitakuja kuwa bayana kwasababu hakuna kitu kinachowez kuwa siri milele au kukwepeka kila siku. Wanachotaka kukiona watu watakiona tu wenyewe kwa macho yao kwa hiyo wasiwe na haraka kiasi hicho".

Kwa upande mwingine, Ben Pol jana kupitia EATV ameweza kutambulisha rasmi video ya wimbo wake mpya inayojulikana kwa jina la 'natuliza boli' ambayo mpaka sasa inaendelea kufanya vizuri katika mtandao wake.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari