Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Christian Bella aweka wazi kuhusu kuoa

Tuesday , 5th Mar , 2019

Msanii wa Bongofleva Christian Bella ameongea kwa mara ya kwanza kuhusu picha zilizosambaa mitandaoni zikimuonyesha akiwa kwenye shughuli ya kufunga ndoa na kusema anaacha watu watafsiri walichokiona kwenye picha na si vinginevyo.

Christian Bella katika moja ya picha zilizozua mijadala mtandaoni.

Akiongea kwenye eNewz, Christian Bella amesema kitu walichokiona watu kama wameona ni ndoa basi ni ndoa na kama wameona ni video ya nyimbo basi waendelee kuona hivyo lakini  Bella hakutaka kuweka wazi kwamba ni kweli ameoa au laa pamoja na kushindwa pia kukanusha taarifa hizo.

"Mwaka 2019 ni mwaka wa kuoa na kuolewa wasanii wengi wamefunga ndoa, hivyo sio ajabu na sio vibaya mtu kuamua kufunga ndoa kwa maana mtu huwezi tu kakaa kama bachela muda wote andapo umri wako unakuwa umeruhusu kuwa mume wa mtu ikifika wakati muafaka nitawaambia ila kwa sasa wao waone picha na waichukulie poa kama ilivyo", Aliongea Christian Bella.

Pia Christian Bella amemalizia kwa kusema kwa sasa hana mpango wa kuachia nyimbo mpya kwani bado anajipanga kutokana na kile anachokisema kwamba anafanya 'show' nyingi kuliko wasanii wote hapa bongo hivyo hana haraka na kutoa nyimbo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala