Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dude aijibu kauli ya Makonda

Wednesday , 17th Jul , 2019

Msanii wa muda mrefu kutoka tasnia ya Bongo Movie hapa nchini Tanzania Kulwa Kikumba maarufu kama "Dude", amefunguka kuhusu kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuwa wasanii wengi ni ombaomba.

Kulwa Kikumba (Dude)

Dude amesema hayo leo kwenye mahojiano na EATV & EA Radio Digital, ambapo amekiri kuwepo kwa kundi la watu wanaojiita wakati wana kazi moja tu na muda mwingi wanatumia kufanya mambo yasiyofaa.

"Unajua kila aliyeshiriki kazi ya sanaa anajiita msanii, ila mimi naamini kwa wasanii wakongwe au ambao wamejikita zaidi kwenye sanaa hawawezi kuwa ombaomba, sio kuombaomba tu hata kuna mambo ya kijinga yanafanyika kwa wasanii tunaambiwa kuna wanaojiuza. Mtu akicheza filamu moja au akionekana kwenye tamthilia moja anajiita msanii ndio hao wanatupakazia watu wote".

Dude ameongeza kuwa anajua wasanii wanajiheshimu na wanauwezo wa kutafuta pesa zao. ''Napenda tu kumwambia mheshimiwa, wako baadhi ya watu wanaotuchafua, wanashiriki katika mambo ya ajabu kama kuvuta unga na wizi, kwa hiyo ndio hao wanatufanya sisi tuonekane wabaya."
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ