Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dude aijibu kauli ya Makonda

Wednesday , 17th Jul , 2019

Msanii wa muda mrefu kutoka tasnia ya Bongo Movie hapa nchini Tanzania Kulwa Kikumba maarufu kama "Dude", amefunguka kuhusu kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuwa wasanii wengi ni ombaomba.

Kulwa Kikumba (Dude)

Dude amesema hayo leo kwenye mahojiano na EATV & EA Radio Digital, ambapo amekiri kuwepo kwa kundi la watu wanaojiita wakati wana kazi moja tu na muda mwingi wanatumia kufanya mambo yasiyofaa.

"Unajua kila aliyeshiriki kazi ya sanaa anajiita msanii, ila mimi naamini kwa wasanii wakongwe au ambao wamejikita zaidi kwenye sanaa hawawezi kuwa ombaomba, sio kuombaomba tu hata kuna mambo ya kijinga yanafanyika kwa wasanii tunaambiwa kuna wanaojiuza. Mtu akicheza filamu moja au akionekana kwenye tamthilia moja anajiita msanii ndio hao wanatupakazia watu wote".

Dude ameongeza kuwa anajua wasanii wanajiheshimu na wanauwezo wa kutafuta pesa zao. ''Napenda tu kumwambia mheshimiwa, wako baadhi ya watu wanaotuchafua, wanashiriki katika mambo ya ajabu kama kuvuta unga na wizi, kwa hiyo ndio hao wanatufanya sisi tuonekane wabaya."
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa